Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha ya Kiroho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha ya Kiroho. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 18 Oktoba 2018

Kuhusu Maisha ya Kawaida ya Kiroho


Mwenyezi Mungu alisema, Muumini lazima awe na maisha ya kawaida ya kiroho huu ni msingi wa kupitia maneno ya Mungu na kuingia katika hali halisi. Sasa hivi, je, maombi yote, kule kuja karibu na Mungu, kuimba, kusifu, kutafakari, na kule kujaribu kuelewa maneno ya Mungu ambayo mnatenda yanafikia viwango vya maisha ya kawaida ya kiroho?