Mungu mwenyewe hutoa ushuhuda kwa kila mtu Anayemteua na kumtumia. Angalau, wote hupokea uthibitisho wa kazi ya Roho Mtakatifu, huonyesha matunda ya kazi ya Roho Mtakatifu, na wanaweza kuwasaidia watu wa Mungu waliochaguliwa kupokea utoaji wa maisha na uchungaji wa kweli. Kwa sababu Mungu ni mwenye haki na mtakatifu, kila mtu Anayemteua na kumtumia lazima alingane na mapenzi ya Mungu.
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ukweli-wa-Kubainisha-kazi-ya-Mungu-kutokana-na-kazi-ya-Mwanadamu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ukweli-wa-Kubainisha-kazi-ya-Mungu-kutokana-na-kazi-ya-Mwanadamu. Onyesha machapisho yote
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)