Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifu-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifu-Mungu. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 27 Desemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 2

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 2

Kanisa la Filadelfia limechukua umbo, na hili limesababishwa kabisa na neema na rehema za Mungu. Watakatifu wameleta upendo wao wa Mungu mbele na kamwe hawakuyumbayumba kutoka kwa njia yao ya kiroho. Kuwa imara katika imani kwamba Mungu mmoja wa kweli Amekuwa mwili, ya kwamba Yeye ndiye Mkuu wa ulimwengu Ambaye hutawala vitu vyote—hii imethibitishwa na Roho Mtakatifu na ni ushahidi thabiti! Kamwe hauwezi kubadilika!

Jumatatu, 10 Desemba 2018

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

I
Umeona ndani ya moyo wangu, kiburi kilichoje ndani yangu.
Nafikiri kuwa mimi ni mzuri sana na kila kitu ni duni kwangu.
Mkuu na mwenye majivuno, asili yangu ni ngumu kutupa.
Zaidi ya kudharau, mimi ni mdogo. Binadamu wamepotea. Oo, binadamu wamepotea.
Maneno Yako yanauyeyusha moyo wangu. Mbele Yako nimekuja.
Niruhusu niishi kwa maneno Yako,
nitembee katika njia ing’aayo ya maisha, katika njia ing’aayo ya maisha.