Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 3 Julai 2019

14. Mungu Anatafuta Wale Walio na Kiu ya Kuonekana Kwake

14. Mungu Anatafuta Wale Walio na Kiu ya Kuonekana Kwake

Mungu huwatafuta wale wanaomtamani, wanaotamani Aonekane.
Mungu huwatafuta wale wasiopinga, watiifu kama watoto mbele Yake.
Mungu hutafuta wale ambao wanaweza, wanaweza kusikia maneno Yake,
wanaokubali yale ambayo Amewaaminia na kutoa moyo wao na mwili Kwake.
Kama hakuna kinachoweza kutikisa, kinachoweza kutikisa kujitoa kwako kwa Mungu,
Atakuangalia, Atakuangalia na fadhila, oo …
Mungu ataweka baraka Zake juu yako, juu yako, oo …
Mungu ataweka baraka Zake juu yako, juu yako!

Jumanne, 25 Juni 2019

Wimbo wa Dina | 20. Mungu Anautafuta Moyo Wako na Roho Yako

Wimbo wa Dina | 20. Mungu Anautafuta Moyo Wako na Roho Yako

Binadamu walioacha utoaji wa maisha kutoka kwa Mwenyezi
hawajui kwa nini wako hai, na ilhali wanaogopa kifo.
Hakuna msaada na hakuna usaidizi,
lakini binadamu bado wanasita kufunga macho yao,
wakistahimili yote, wanaendeleza kwa muda mrefu uwepo wenye kudharaulika katika dunia hii
katika miili isiyo na ufahamu wa roho.
Unaishi bila matumaini. Anaishi bila lengo.

Jumanne, 18 Juni 2019

Wimbo wa Dini | 48. Mungu Anashuka na Hukumu

48. Mungu Anashuka na Hukumu

I
Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,
Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika.
Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?
Ama kuishi katika janga Analotoa?
Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,
lakini kupitia kwayo Anatoa wokovu na kuonyesha upendo Wake.
Mungu anatamani kuwafanya watu zaidi kumjua, kumwona na kumheshimu.
Hawajamwona kwa muda mrefu, lakini sasa Yeye ni wa kweli kabisa.

Jumanne, 23 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | 35. Katika Enzi ya Ufalme, Neno Linatimiza Kila Kitu

Wimbo wa Kuabudu | 35. Katika Enzi ya Ufalme, Neno Linatimiza Kila Kitu

I
Katika Enzi ya Ufalme, Mungu anaikaribisha enzi mpya na neno.
Anabadilisha mbinu ya kazi Yake, anafanya kazi ya enzi nzima na neno.
Hii ni kanuni ambayo Mungu anafanya kazi nayo katika Enzi ya Neno.
Alikuwa mwili ili kunena kutoka sehemu tofauti,
hivyo mwanadamu kweli anamwona Mungu, Neno likionekana katika mwili,
anaona ajabu Yake, na anaona hekima Yake.

Alhamisi, 18 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | 84. Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu

Wimbo wa Kuabudu | 84. Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu

I
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,
kila hatua ya mwanadamu, kila kitu anachosema na kufanya.
Mungu anamjua mwanadamu kama kiganja cha mkono Wake.
Mahali pa siri ni makao ya Mungu, anga ndicho kitanda Mungu akilaliacho.

Ijumaa, 22 Machi 2019

wimbo wa kuabudu | 32. Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

Wimbo wa Kuabudu | 32. Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu.
Mungu anataka nchi mbali na Israeli watii jinsi Waisraeli walivyofanya,
kuwafanya kuwa wanadamu wa kweli,
ili katika nchi mbali na Israeli wafuasi wa Mungu watapatikana.
Huu ni usimamizi wa Mungu.
Ni kazi Yake katika nchi ya Mataifa.

Jumamosi, 16 Machi 2019

Wimbo wa Kuabudu | 50. Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

Wimbo wa Kuabudu | 50. Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

I
Kazi ya Mungu inaendelea kuwa bora;
ingawa kusudi linabaki bila kubadilika,
mbinu ya kazi Yake inabadilika kila wakati,
na hivyo pia wale wanaomfuata.
Kadiri ambavyo Mungu anafanya kazi zaidi,
ndivyo mwanadamu anavyojua zaidi, anavyomjua kikamilifu,
ndivyo tabia ya mwanadamu inavyobadilika zaidi
pamoja na kazi Yake ifaavyo.

Jumanne, 25 Desemba 2018

Ufalme wa Mungu Umetengenezwa Kati ya Wanadamu

Ufalme wa Mungu Umetengenezwa Kati ya Wanadamu

I
Katika dunia na ulimwengu, hekima ya Mungu inaweza kuonekana.
Kati ya vitu vyote na watu wote, hekima Yake inapata matunda mazuri.
Kila kitu kinafanana na mazao ya ufalme wa Mungu.
Binadamu anapumzika chini ya mbingu ya Mungu kama kondoo katika malisho ya Mungu.

Jumamosi, 22 Desemba 2018

Umeme wa Mashariki | Umuhimu wa Kuonekana kwa Mungu

Umeme wa Mashariki | Umuhimu wa Kuonekana kwa Mungu

I
Kuonekana kwa Mungu kunataja kufika Kwake binafsi duniani ili kufanya kazi Yake.
Na utambulisho Wake mwenyewe na tabia, na kwa njia Yake mwenyewe,
Yeye anashuka kati ya mwanadamu ili kuanza enzi na kumaliza enzi.
Kuonekana kama huku sio ishara ama picha.
Si aina ya sherehe.
Si muujiza. Si ono kuu.

Jumatatu, 10 Desemba 2018

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

I
Umeona ndani ya moyo wangu, kiburi kilichoje ndani yangu.
Nafikiri kuwa mimi ni mzuri sana na kila kitu ni duni kwangu.
Mkuu na mwenye majivuno, asili yangu ni ngumu kutupa.
Zaidi ya kudharau, mimi ni mdogo. Binadamu wamepotea. Oo, binadamu wamepotea.
Maneno Yako yanauyeyusha moyo wangu. Mbele Yako nimekuja.
Niruhusu niishi kwa maneno Yako,
nitembee katika njia ing’aayo ya maisha, katika njia ing’aayo ya maisha.

Alhamisi, 15 Novemba 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Siwezi Kusema Yote Yaliyo Moyoni Mwangu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,kumpenda Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu  | Siwezi Kusema Yote Yaliyo Moyoni Mwangu

I

Leo nimekutana na Wewe, matumaini yangu yote yametimia.
Nimefurahia utajiri wote katika kumbatio Lako la upendo na ukunjufu.
Moyo Wako hakika ni mzuri sana, upendo Wako unanivutia.
Kile Ulicho nacho na kile Ulicho, ni vya thamani sana kwangu.
Siwezi kuelezea, hakuna maneno:
Jinsi gani anavyopendeza Mwenyezi Mungu!

Jumatano, 7 Novemba 2018

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | 85. Umo Moyoni Mwangu



                                       85. Umo Moyoni Mwangu                              



     I
Ninapotenda wajibu wangu mbali na nyumbani,
nawaza kukuhusu, na ninakuomba.
Kupitia kusoma maneno Yako,
nimekuja kukuamini zaidi na moyo wangu unapozwa, oo.
Kukushuhudia Wewe, ninapitia machungu mengi,
na najua hata vizuri zaidi jinsi Unavyopendeza.
Kukufuata, nitatembea milele hadi mwisho.
Unapobadilisha umbo Lako,
tutakaribisha kurudi Kwako, ee,
tutakaribisha kurudi Kwako.

Jumanne, 16 Oktoba 2018

209. Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu


209. Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu


I
Matendo maovu ya wanadamu yanapomchukiza Mungu,
Ataiteremsha hasira Yake juu yao,
ila wanapotubu kwa kweli mbele Yake.
Watu wanapoendelea kumpinga Mungu,
Ghadhabu Yake haitakoma, hata watakapoangamizwa.
Hii ni tabia ya Mungu.
Kwa maneno mengine, rehema au ghadhabu ya Mungu
inategemea matendo ya mwanadamu na mtazamo wake kwa Mungu. Ah ...

Jumatano, 10 Oktoba 2018

210. Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

210. Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

I
Baada ya Mungu kupata mwili, akiishi maisha kati ya wanadamu,
Aliona upotovu wa mwanadamu, hali ya maisha yake.
Mungu katika mwili alihisi sana kutojiweza kwa mwanadamu,
jinsi gani wanavyodharaulika; Alihisi huzuni yake.

Jumatatu, 8 Oktoba 2018

212. Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

212. Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu.

Jumapili, 7 Oktoba 2018

213. Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

213. Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

I
Kazi ya Mungu ya kuokoa ni muhimu vipi,
muhimu zaidi kuliko vitu vingine vyote Kwake.
Kwa mipango na mapenzi yaliyokusudiwa, sio mawazo na maneno tu,
Anafanya kila kitu kwa wanadamu wote.
Oh ni muhimu kiasi gani, kazi ya Mungu ya kuokoa, kwa ajili ya mwanadamu na Yeye Mwenyewe.