Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo watu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo watu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 21 Januari 2019

Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 9

Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 9


Mwenyezi Mungu anasema, "Kwa sababu kwamba wewe ni mmoja wa watu nyumbani Mwangu, na kwa sababu wewe ni mwaminifu katika Ufalme wangu, kila unachofanya lazima kifikie viwango Ninavyohitaji Mimi. Sisemi kwamba uwe tu kama wingu linalofuata upepo, bali uwe kama theluji inayong’aa, na uwe na hali kama yake na hata zaidi uwe na thamani yake. Kwa sababu Nilitoka katika nchi takatifu, si kama yungiyungi, ambalo lina jina tu na halina dutu kwa sababu lilikuja kutoka katika matope na si kutoka nchi takatifu. 

Jumanne, 6 Februari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu|Tamko la Thelathini na Nne

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,ndugu na dada

Kanisa la Mwenyezi Mungu|Tamko la Thelathini na Nne

Wakati mmoja Nilimwalika mwanadamu kama mgeni nyumbani Kwangu, lakini alikimbia huku na huko kwa sababu ya miito Yangu–kama kwamba, badala ya kumwalika kama mgeni, Nilikuwa nimemleta kwenye eneo la kuuawa. Kwa hiyo, nyumba yangu inaachwa tupu, kwa maana mwanadamu ameepukana Nami daima, na daima amejilinda dhidi Yangu.

Ijumaa, 26 Januari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu|Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu|Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa

Mwenyezi Mungu alisema, Tazama, kwa kila kifungu cha maneno yaliyosemwa na Mungu, au kila tukio ambalo Mungu anatoa mahitaji kwa watu, Mungu ataonyesha njia ya kutenda na kanuni za kutendea.

Jumatano, 10 Januari 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X

3. Mzunguko wa Uhai na Mauti wa Watu Wanaomfuata Mungu
Mwenyezi Mungu anasema, "Baada ya hayo, hebu tuzungumzie mzunguko wa uhai na mauti wa wale wanaomfuata Mungu. Hili linawahusu, hivyo kuweni makini. Kwanza, fikiria kuhusu ni makundi gani ambamo watu wanaomfuata Mungu wanaweza kugawika. (Wateule wa Mungu na watendaji huduma.) Kuna mawili: wateule wa Mungu na watendaji huduma. Kwanza tutazungumza kuhusu wateule wa Mungu, ambao ni wachache. “Wateule wa Mungu” inarejelea nini?